Psalms 16:8-11


8 a bNimemweka Bwana mbele yangu daima.
Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume,
sitatikisika.


9 cKwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia;
mwili wangu nao utapumzika salama,

10 dkwa maana hutaniacha kaburini,
wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu.

11 eUmenijulisha njia ya uzima;
utanijaza na furaha mbele zako,
pamoja na furaha za milele
katika mkono wako wa kuume.
Copyright information for SwhKC